Monday, April 2, 2012

WANENGUAJI WA AKUDO IMPACT WAKIFANYA KUFURU KWENYE BONANZA...

Wanenguaji wa bendi ya Akudo Impact wakishambulia jukwaa kwa mtindo wa Pekecha-Pekecha! Ilikuwa balaa...Kama ulikosa shoo hii kwenye bonanza la usiku wa kuamkia leo, basi usikate tamaa. Nafasi yako nyingine ni pale Mango Garden, Kinondoni siku ya Ijumaa Kuu na pia Siku ya Pasaka kwenye Bonanza la aina yake maalumu kwa wapenzi wa kupekecha pale Msasani Beach Club. (Video ya ziro99blog).

No comments:

Post a Comment