Saturday, December 15, 2012

KOFFI OLOMIDE AFUNIKA VIWANJA VYA LEADERS USIKU WA KUAMKIA LEO...

  
Hakika palikuwa hapakaliki katika Viwanja vya Leaders Club usiku wa kuamkia leo pale Gwiji la Muziki wa Dansi kutoka nchini Congo DRC, Koffi Olomide na vijana wake wa bendi ya Quartier Latin walipofanya shoo kali ya 'kufa mtu'. Leo Koffi atashusha burudani kali jijini Mwanza. Video zaidi za shoo za wikiendi utazipata Jumatatu.

No comments:

Post a Comment