HAKIKA HII SI YA KUKOSA!!!
Baada ya kimya kirefu, sasa blogu yako makini ya BONGOMOTO inarejea kivingine kwa kishindo wikiendi ijayo Desemba 15, 2012 kwa kukuletea mambo motomoto yanayojiri kwenye kumbi mbalimbali, video kali za shoo LIVE na mengi usiyoyajua kuhusu wanamuziki wa dansi hapa nchini kwenye mahojiano EXCLUSIVE! Kama haitoshi, mpenzi msomaji wa blogu hii sasa utaweza kujishindia zawadi kemkem kila wiki kwa kujibu maswali kadhaa. **Kumbuka hii ni kwa wale tu watakaokuwa wamejisajili kwenye blogu hii** Kaa tayari na hakikisha hukosi burudani hii hapahapa. -Mhariri
No comments:
Post a Comment